Ø Jinsi
ya kufanya hayo maombi
tamka kwa sauti ya juu na kwa mamlaka.
Ø Ninavunja na
kujuifungua kutoka kwenye
misingi
ya maagano ya mababu
ya ukoo kupitia kuabudu miungu, sanamu kuchanjwa
chale kafara za kipepo na uaguzi
na ubashiri Bwana Yesu tumia damu yako ya thamani kuua makali
ya madhabahu yote ya uovu maishani
mangu maana imeandikwa taja
andiko hili kwa imani
na mamlaka Yeremia 14:20 “ Ee
bwana tunakili uovu wetu
na ubaya wa baba zebu maana
tumekutenda dhambi.
Ø Ewe
mkono unafanya kazi mbaya ya kuzuia upenyo wangu ofisini kwenye biashara elimu na nyumbani kwang, kwenye
afya yangu pokea mshale a moto
wa Mungu na udhoofike na vunja
na kuteketeza kwa moto kila Agano la kishetani na mawakala wake
ambao
wamenikamata kwa hiyo ninaamuru.
Ø Natamka
kwa mamlaka kila roho ya maagano
na malkia wa bahari naamuru
ivunjike kuanzia sasa kwa
moto katika jina la Yesu.
Ø Kila roho ya maagano
ya mitishamba ivunjike kwa jina
la Yesu.
Ø Kila
roho ya maagano na roho ya
nyoka ivunjike kwa kwa jina la Yesu.
Ø Kila roho ya maagano
na roho ya ibada za
kishetani zinazo fanyika/ zilizofanyika zivunjwe
kwa moto katika jina la Yesu.
Ø Kila r
oho ya maagano na roho za wanyama
ivunjike kwa moto katika jina la Yesu.
Ø Kila
roho ya maagano na roho za ndege ivunjike kwa moto katika jina la Yesu.
Ø Kila
roho ya maagano wachungaji/
watumish wa kishetani ivunjike
kwa moto katika jina la Yesu.
Ø Paiti
nataka nifafanue kwa kifupi kuhusu
agano la malkia wa bahari
fahamu wazi kuwa
kuna malikia wa baharini
na majini na wa nchi
kavu hivyo malkia
wa baharini huwa anatoa
ada mbalibali kwa malikia wanchi kavu
kuja kuharibu mafanikio ya
watu tumia andiko hili Zaburi 29:3 ( Sauti
ya bwana ijuu ya maji mungu
wa utukufu alipiga radi juu ya maji mengi. Unaona andiko hili kwa makini, hivyo mtangazie
huyo malkia wa bahari
kuwa wewe silolote
mbele zangu il radi ya mungu
iliyopiga maji ninaituma kuanzia sasa
na wafuasi wako katika jina la Yesu.
Ø Kumbuka
hili siku zote unapofanya
maombi haya hakikisha uwe umevaa
sura ya kazi yaani ya kivita
Ø Naachia
moto wa Mungu uelekee kwenye maagano ya uov,
ninaamuru kila uwepo wa mabaki ya maagano ya uovu ulioingia ndani yangu
kupitia chakula au kinywaji au kushiriki
na watumishi wa kipepo
ututiliwe mbali kwa damu ya Yesu, maovu yaliyofanywa ka
kutumia jina langu ili yawe Baraka
katika jina la Yesu Amen.
MADHABAHU YA UOVU.
Ø Kwa
nguvu ya Mungu na mamlaka
niliyopewa ninaangusha madhabahu ya uovu
inayosababisha kuchelewesha, kuchanganyikiwa, huzuni na krudi nyuma tumia andiko hili taja kwa mamlaka YEREMIA 10:25 Hasira yako uwamwagi mataifa
wasiokujua na jamaa wasiolitii jina
lako.
Ø Nataka
ufanye kama Eliya kwa mamlaka
ruhusu moto wa Mungu ushike na utekeleze
na madhabahu zote za uovu haribu
kila kifaa cha uovu na zana zilizotumika
kuharibu maisha yangu katika
jina la Yesu.
Ø Ninafuta kwa Damu ya Yesu maandishi yote yaiyosababisha matokeo
mabaya kwenye maisha yangu funua na
uhusuru sehemu yeyote ya mwili wangu iliyotumika
kutimiza kusudi la madhabahu zao za giza
natamka kwa mamlaka huhumu ya kifo kwa wote wanaotaja jina langu kwa njia ya uovu kiri andiko hili Zaburi
3:7 “ Ee bwana unikumbuke mungu wangu uniokoe
maana umewapiga taya
adui zagu wote umewavunja meno
wasio haki.
Ø Roho
mtakatifu nguza kwa moto kitu chochote
kinachoniwakilisha katika ulimwengu wa
bahari au madhamahu
ya adui nafuta kila
agizo lilitolewa kuoka
kwenye malango ya bahari
na kusababisha malkia
wa bahari na mawakala
wake kunitesa pokeeni kombora
la moto wa Mungu maana
imeandikwa “ Zaburi
29:3 Sauti ya bwana ijuu ya maji mungu wa utukufu alipiga radi bana juu ya maji mengi.
Ø Ewe
uliyeteka nyoka yangu uliyetumwa
kubadilisha hatima ya maisha
yangu teketea kwa moto
umeshidwa maana bwana
ameniambia katika kitabu
cha ISAYA
61:6 bali ninyi
mtaitwa makuhani wa bana watu
watawaiteni wahudumu wa
mungu wetu mtakula utajiri wa
mataifa na kulisifia utukufu wao.
Ø Kwa
hiyo hakuna uovu uliotolewa tamko
kutoka kwenye madhaba ya uovu utakaonidhulumu katika jina la Yesu.
Ø Najifunika kwa damu ya yesu
nakuingilia mikutano yote ya kichawi
inayokuondoa jina langu na bomoa
madhabahu zao zote kwa moto war oho mtakatifu naondoa jina langu Baraka zangu upenye wangu utukufu wanu
ustawi na furaka yangu itoke kwenye
madhabahu zao katika jina la Yesu Ameni.
KANUNI ZA KUFANYA MAOMBI HAYA.
Kabla ya kufanya maombi haya
kwanza fanya doria maeneo yote
unayotaka kuombea kutumia maombi ya
rehema Mika 7:18, Zaburi 103: na Zaburi 51:1 – 10. Baada ya hapo maombi
yote yafanyike kwa mamlaka ni vizuri
maombi haya yafanyike usiku kuanzia saa 8 hadi saa 10.
No comments:
Post a Comment