Sunday 6 December 2015
NGUVU YA AGANO MCHUNGAJI LUCAS HANGO. NGUVU YA KUHARIBU MAAGANO YA MABABU
Ø Jinsi
ya kufanya hayo maombi
tamka kwa sauti ya juu na kwa mamlaka.
Ø Ninavunja na
kujuifungua kutoka kwenye
misingi
ya maagano ya mababu
ya ukoo kupitia kuabudu miungu, sanamu kuchanjwa
chale kafara za kipepo na uaguzi
na ubashiri Bwana Yesu tumia damu yako ya thamani kuua makali
ya madhabahu yote ya uovu maishani
mangu maana imeandikwa taja
andiko hili kwa imani
na mamlaka Yeremia 14:20 “ Ee
bwana tunakili uovu wetu
na ubaya wa baba zebu maana
tumekutenda dhambi.
Ø Ewe
mkono unafanya kazi mbaya ya kuzuia upenyo wangu ofisini kwenye biashara elimu na nyumbani kwang, kwenye
afya yangu pokea mshale a moto
wa Mungu na udhoofike na vunja
na kuteketeza kwa moto kila Agano la kishetani na mawakala wake
Saturday 5 December 2015
Monday 30 November 2015
Thursday 26 November 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)